KAGERA REGION FORUM by John Muga
15 April 2012
KANUUMBA UMEACHA SIMANZI KUMBWA KWA WATANZANIA
TASWIRA MBALI MBALI ZA KUAGWA MAREHEMU STEVEN KANUMBA
Eneo katika makaburi ya kinondoni ambapo mwili wa marehemu Steven Kanumba unapumzishwa.
Polisi wa usalama barabarani na kazi ya ziada.
Watu walivyofurika kwa wingi.
Wengine juu ya miti.
Wasanii mbalimbali waliubeba mwili wa marehemu kutoka kwenye gari kuelekea sehemu maalum iliyotengwa kwa ajili ya kuagia.
MWILI WA KANUMBA WAAGWA PALE LEADERS CLUBNA KUZIKWA LEO KATIKA MAKABURI YA KINONDONI
Picha kwa hisani ya dj choka.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment